Nifah hujambo binti? Usiku huu wa manane uko macho usingizi umekata?03:38
Halafu mtoto wa mtu kalala! Usiku mrefuuu
Sijambo Mkuu.Nifah hujambo binti? Usiku huu wa manane uko macho usingizi umekata?
ShikamooMje sasa tuchat....nimeamka ✋
Marahaba,mbona umechelewa kuja jamani?Shikamoo
Baadae bas nikapige majiShikamoo
B... kwa masimango yenu ya jana hadi mtu unatamani ulale na uamke baada ya wiki moja.03:38
Halafu mtoto wa mtu kalala! Usiku mrefuuu
Pole b... And, I'm sorry.B... kwa masimango yenu ya jana hadi mtu unatamani ulale na uamke baada ya wiki moja.
Ova
Yalishapita b... na yaliniimarisha zaidi kuliko kunibomoa. So I'm happy.Pole b... And, I'm sorry.
And, the reason why you are the one in a million b...Yalishapita b... na yaliniimarisha zaidi kuliko kunibomoa. So I'm happy.
Ova
Pole chief12:00 AM
nipo nipo tu
