Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,409
- 82,301
B… Hii nayo ni manane kweli jamani?23:00
Ova
Usiku wa manane ndio huu sasa.
B… Hii nayo ni manane kweli jamani?23:00
Ova
Tangu 2016 usiku nikilala sana basi nitalala kwa muda wa saa 1 tu, vinginevyo labda nipate mvinyo
Afya ipo ngangariDuh..afya vipi? Usingizi ni dawa
Nilikuwa natest mitambo b...B… Hii nayo ni manane kweli jamani?
Usiku wa manane ndio huu sasa.
Siku hizi nakutoa knock out kwenye kukesha b… Mwanafunzi kamzidi mwalimu.Nilikuwa natest mitambo b...
Ova
Ha ha ha haaa... Kwani vina muda basi, mi nimekaa paleeee! Tutamwona huyo mshindi mpya wa ukeshaji.Siku hizi nakutoa knock out kwenye kukesha b… Mwanafunzi kamzidi mwalimu.
Nayaaga mashindano, siwezi b…Ha ha ha haaa... Kwani vina muda basi, mi nimekaa paleeee! Tutamwona huyo mshindi mpya wa ukeshaji.
Ova
Lols! Mbona mshiriki unajitoa mapema hivi?Nayaaga mashindano, siwezi b…
Nitadhalilika b…Lols! Mbona mshiriki unajitoa mapema hivi?
Ova
Lol! Lakini, hata bingwa alianza kama mshiriki siku ya kwanza, ila baadaye ikaja kuwa historia.Nitadhalilika b…
We kushindana na bingwa la kukesha kuweza? Akha mie.
Hahahaaaa haki nimechekaaaaa.Lol! Lakini, hata bingwa alianza kama mshiriki siku ya kwanza, ila baadaye ikaja kuwa historia.
Ova