JamiiForums Usiku wa manane
02:14
Some nights I wonder if the man I became is the one the younger me was fighting to become.
 
Muda huu nipo macho,nimefanya mazoezi ya mwilinkama dk 15 hivi,sasa nipo room namsikiliza redio kwa sauti ndogo.Napanga kazi maana kesho naenda kwenye kimgahawa changi kidogo,actually ni cha kibaba ntilie hivi
 
Muda huu nipo macho,nimefanya mazoezi ya mwilinkama dk 15 hivi,sasa nipo room namsikiliza redio kwa sauti ndogo.Napanga kazi maana kesho naenda kwenye kimgahawa changi kidogo,actually ni cha kibaba ntilie hivi
Mkuu unachezaga mchongo pesa nini😁
 
Back
Top Bottom