Pole chiefkuna mishe imenifelia dakika za mwisho nimekosa maokoto makubwa
Hiyo ni sehemu ya mapambano
Ikitokea unapiga moyo konde unasonga mbele
Pole chiefkuna mishe imenifelia dakika za mwisho nimekosa maokoto makubwa
bado hujathema00:50 Nammiss big time
kuna mahali ilihitajika NIDA, bado sina😂Kuna team imechana mkeka nini?
Hujachelewa kuna kitu iko APA mlimani city ni shida aaa!!!!! muziki wa Afrika .sio poa...,inaitwa Access .Mm ndo nataka nitoke nitafute bar zilipo.
Nimekumic mdada vipi shemu leo hayupo nini?00:50 Nammiss big time
Katoka ndio niko hapa kumsubiri…
Mbona umemruhusu atoke mwenyewe ataibiwaKatoka ndio niko hapa kumsubiri…
Pambania uipatekuna mahali ilihitajika NIDA, bado sina😂
Hujachelewa kuna kitu iko APA mlimani city ni shida aaa!!!!! muziki wa Afrika .sio poa...,inaitwa AccessMm ndo nataka nitoke nitafute bar zilipo.
Habari za wakati huu wakuu