Ngedere1
JF-Expert Member
- Jun 9, 2022
- 369
- 787
Hujachelewa kuna kitu iko APA mlimani city ni shida aaa!!!!! muziki wa Afrika .sio poa...,inaitwa Access .Mm ndo nataka nitoke nitafute bar zilipo.
Hujachelewa kuna kitu iko APA mlimani city ni shida aaa!!!!! muziki wa Afrika .sio poa...,inaitwa Access .Mm ndo nataka nitoke nitafute bar zilipo.
Nimekumic mdada vipi shemu leo hayupo nini?00:50 Nammiss big time
Katoka ndio niko hapa kumsubiri…
Mbona umemruhusu atoke mwenyewe ataibiwaKatoka ndio niko hapa kumsubiri…
Pambania uipatekuna mahali ilihitajika NIDA, bado sina😂
Hujachelewa kuna kitu iko APA mlimani city ni shida aaa!!!!! muziki wa Afrika .sio poa...,inaitwa AccessMm ndo nataka nitoke nitafute bar zilipo.
Habari za wakati huu wakuu
Amka uweke bustaniO4:58
Hii mvua jamani
Ukiwa na baby lazima uifaidi hii mvuaO4:58
Hii mvua jamani
Baridi aisee😂. SitawezaAmka uweke bustani
Kwa kweli
Usiamke usije ukaumwa maana kuna baridiKwa kweli