Skudu makudubela
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 559
- 1,116
Leo lindoni kuna kibarid kikali ila hakuna ubayq tuko kamiligado kuitumikia kaz 00:02
Buguruni hapo katika harakati za kuhangaika nilikuwa naenda hapo saa saba/nane usiku kula. Siku ya kwanza nilishangaa sana mda huo lakini bado kuna vurugu kama zote!Wakubwa leo nakesha maeneo ya buguruni hapa mpaka majogoo.
Mpaka muda huu watu wako vile vile, ngoja tuvute muda tuone kama wataisha.Buguruni hapo katika harakati za kuhangaika nilikuwa naenda hapo saa saba/nane usiku kula. Siku ya kwanza nilishangaa sana mda huo lakini bado kuna vurugu kama zote!
Mkuu buguruni hapo ni kama watu hawalali. Tena huu usiku ndio biashara zinachanganya za kila aina!Mpaka muda huu watu wako vile vile, ngoja tuvute muda tuone kama wataisha.
Let maneno.....kahawa.....kashatahNani yupo tupige story
Uko wapi mkuu...nimegugu east Africa time ipo 10 hrs ahead of pacific timeSaa 9dk 13 pacific time nipo Hoi uchovu usingizi baridi meli yakata mawimbi
Port AngelesUko wapi mkuu...nimegugu east Africa time ipo 10 hrs ahead of pacific time
0235hrs
Hakuna vibarua huko mkuu tuje tujaribu!Port Angeles
Karibu vipo vya kutosha 9:58Hakuna vibarua huko mkuu tuje tujaribu!