JamiiForums Usiku wa manane
Ila kunavitu havizoeleki asee, esp kweny neno Mapenzi kuna muda watu wanajifariji nje kwamb hawateseki ila moyoni ni kilio kikuu nacheka ila naogopa soon tu nitaend kuanzisha familia na kijana wa watu tulio kutana ukubwan kila mtu na tabia zake, sijui kama nitakua nakuja huku kupiga kelele au nitakua busy kupepea ndoa, all in all nitawamiss sana Moyo wangu upo huku

2030,em njoeni niwasimulie hadith moja tukiwa tumekaa chini tukiuzunguka moto katikat yetu.,
Ila hapa tunaitwa mtakuja
 
Ila kunavitu havizoeleki asee, esp kweny neno Mapenzi kuna muda watu wanajifariji nje kwamb hawateseki ila moyoni ni kilio kikuu nacheka ila naogopa soon tu nitaend kuanzisha familia na kijana wa watu tulio kutana ukubwan kila mtu na tabia zake, sijui kama nitakua nakuja huku kupiga kelele au nitakua busy kupepea ndoa, all in all nitawamiss sana Moyo wangu upo huku

2030,em njoeni niwasimulie hadith moja tukiwa tumekaa chini tukiuzunguka moto katikat yetu.,
Hongera, itabidi uyazoee mazingira mapya, soga za jf ni mapito tu.
Utakuwa unakuja angalau x1 kwa wiki kusalimia
 
Back
Top Bottom