Dhul
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 767
- 790
Ila hapa tunaitwa mtakujaIla kunavitu havizoeleki asee, esp kweny neno Mapenzi kuna muda watu wanajifariji nje kwamb hawateseki ila moyoni ni kilio kikuunacheka ila naogopa soon tu nitaend kuanzisha familia na kijana wa watu tulio kutana ukubwan kila mtu na tabia zake, sijui kama nitakua nakuja huku kupiga kelele au nitakua busy kupepea ndoa
, all in all nitawamiss sana Moyo wangu upo huku
2030,em njoeni niwasimulie hadith moja tukiwa tumekaa chini tukiuzunguka moto katikat yetu.,

, all in all nitawamiss sana Moyo wangu upo huku

