National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,175
- 56,203
05:55
nilichomaga laki 4 kwenye dodge kipindi niko form 3, dah

Asanteni ghali??
poleni, kila mtu anapitia maumivu,
Hebu salimia wakubwa, so una kuja na bichwa lako lililo jaa uchonganishi😂🤣🤣Si nilionja ile gongo ya kichina nikapotea mazima 😁😁😁
Afu chumbani una tumia taa ya rangi gani???,Nilihangaika kutafuta usingizi, acha tu.
Jitahidi kumaintain, ukijihisi bored njoo tucheke.Mimi natamani kukupasua ukiniletea utani😂
Nilizima taa, huwa natumia nyeupe.Afu chumbani una tumia taa ya rangi gani???,
For realJitahidi kumaintain, ukijihisi bored njoo tucheke.
👉Mambo hayaendi zungumza, tujue tuna solve aje
Hebu salimia wakubwa, so una kuja na bichwa lako lililo jaa uchonganishi![]()



Dah yani wewe na lile li mwehu (rafiki yangu)hamna Tofauti 🤣😂😂Nyokoniko wee
Watu wazima wanashevia panga?!!
Hi statement imekaa ki utata, for real - unasema ni kweli au umeweka statement ya kuuliza swali??🤣😂😂😜For real
Toa huo utumbo haraka, ndo Mana huponi haraka. Ms eyesNilizima taa, huwa natumia nyeupe.
Dah yani wewe na lile li mwehu (rafiki yangu)hamna Tofauti![]()


sema kweli?Ni kweliHi statement imekaa ki utata, for real - unasema ni kweli au umeweka statement ya kuuliza swali??🤣😂😂😜
Wapuuzi tu, mna niona mi Rika lenu ehh😂🤣🤣🤣sema kweli?