JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Jf sa kumi usik Nina swali.

Ni suala binafs na mahusiano kazini. Ninafanyakaz taasis moja binafs. Mm ni kijana na nimeoa. Lkn Kuna mwanamama ametokea kuwa karb na mm na anaonesha amenielewa. Na yeye ameolewa.

Anapenda kunipa vizawad. Hiv juzi ijumaa kanipa suruali. Kama zawadi. He natakiwa nimpe nn? Nimjibu nn naona Asante haitoshi. Upande wa hisia Sina hisia naye hata kidogo
Wewe ulitaka umpe nini?

0501
 
Wewe ushawahi kutoa tunda hivyo?

0510
Mara nne 4.

Nilikiwa cchuo first ur. Kuna mkaka huyo alinilipia nauli kwenye bas. Simu moja namuona kwenye lekcha baada ya kutika tukaongoza lunchi. Jinn nikawiwa kumpa.

Mwingine nilikiwa Sina hata hela ya vocha akanicheki na 20k nilimuona kama malaika. Akala yai.

Mwingine alikuwa mfanyakaz mwenzangu, yule mbaba mpole sana nilimuonea huruma tu, tukiwa tour ya wafanyakaz mikumu alinilala morogoro.

Mara nyingi siwez kukumbuka kila kitu
 
Mara nne 4.

Nilikiwa cchuo first ur. Kuna mkaka huyo alinilipia nauli kwenye bas. Simu moja namuona kwenye lekcha baada ya kutika tukaongoza lunchi. Jinn nikawiwa kumpa.

Mwingine nilikiwa Sina hata hela ya vocha akanicheki na 20k nilimuona kama malaika. Akala yai.

Mwingine alikuwa mfanyakaz mwenzangu, yule mbaba mpole sana nilimuonea huruma tu, tukiwa tour ya wafanyakaz mikumu alinilala morogoro.

Mara nyingi siwez kukumbuka kila kitu
🙌🙌🙌🙌🙌
Watu wanajilia yai tu 🙂🙂🙂
 
Back
Top Bottom