Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,416
- 96,770
Juzi Kuna mtu nili muagiza,akawa ana leta utani na utoto.Yaani hizi hasira ndio mbaya sasa, zinaniumiza kichwa na ndio maana mimi sio mtu wa kukasirika sana.
👉Nilitamani kumfomkea, ila Nika vumilia. Inawezekana kuishinda hasira

