JamiiForums Usiku wa manane
Boss kama boss nimeimba hata hujanitunza kweli dah boss unatuangusha πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Sitasahau hizo mambo za kutunza,niliingia mango garden,live bend ,na ka elfu 50 kangu ka ngama,kula vyombo kidogo ,nikajikuta nimeiga kutunza ,nilitembea kwa miguu mpaka home,nimechachaaa,starehe gharama
 
Nimenunua MB 850 asubuhi hapo nilikua na back Jana MB 300 zilikua zinaisha saa 6 mchana hizo 850 ni wiki nakuambia ilipofika saa 6 MB zikafutika nafika saa 12 jioni zile 850 kuangalia nakuta zimebakia 300 na hapa navyotumia nikifika asubuhi ntakua 0 MB

Naomba kujua mtandao gan una budget nzuri ya bando

02:10
 
Nimenunua MB 850 asubuhi hapo nilikua na back Jana MB 300 zilikua zinaisha saa 6 mchana hizo 850 ni wiki nakuambia ilipofika saa 6 MB zikafutika nafika saa 12 jioni zile 850 kuangalia nakuta zimebakia 300 na hapa navyotumia nikifika asubuhi ntakua 0 MB

Naomba kujua mtandao gan una budget nzuri ya bando

02:10
Pole mimi natumia voda hapa nimejiunga cha jero lakin ngoma inaisha kesho mchana hiii nimezima app zote nimebakiza safar tu
 
Ulitaka wale mchemsho?chukua voda Babu,au tumia vpn ,uwakomoe hao halotel
Hawa jamaa wanakula bando sio kawaida yaan km wanajihamishia Sina hata matumizi makubwa, yaan Jana nilikua na MB 200 niliingia YouTube nikaangalia makala Ina dakika 9 bila shida na MB zilibakia nikaongeza, Leo nmenunua MB 850 jamaa wamepita na MB 550 zimebaki 300 hii haki kweli hii? Sijaingia popote zaidi ya JF hivi kweli JF unaweza kula MB 550 kwa masaa yasiyozidi 7?
 
Back
Top Bottom