JamiiForums Usiku wa manane
Unajionaje wewe? Na unanionaje wewe?
Mimi ndiyo tajiri wa mahaba, karibu nikutunze..
Nimefunga safari ya Tanga mpaka Mombasa... Nimefika Tawakar nakutazama nakukosa, wala sioni dalili.... simuni nakukosa....

Naambiwa hii namba unayopiga, mwenyewe kaja poswa...
Na wala mi sijali, na vyako visa visa aliyekufunda ujeuri, mwambie kwangu umefika...

Kwani binti unatakaje? Au nawewe nikuimbie kama waliokosa fadhila baadaye unikimbie? Sema binti unatakaje?Au kwingine nisivutie?
Unimiliki peke yako, niweke basi nitulie...
Mashairo mazuri ila sauti mbaya sana 😂😂
 
Ntakuzawadia vyote..
Pochi zenye thamani vyote...
Nawe uende kuwaringia vyote...
Utembee kwa uskani vyote...
Na vioo uwafungie vyote...

Mungu kakupa sura, kakupa shepu...nyuma chura mambo yetu mwana wa Sanura... mwenzako mimi I love you...
Umeniteka medula... niko fyetu...
Akili haina ndala iko peku...

🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎵🎵🎵🎵🎵🎵🎼🎼🎼🎼🎼🎼🎼🎼🎼🎼🎼🎧🎧🎧🎧🎧🎧🎧🎧
 
Ntakuzawadia vyote..
Pochi zenye thamani vyote...
Nawe uende kuwaringia vyote...
Utembee kwa uskani vyote...
Na vioo uwafungie vyote...

Mungu kakupa sura, kakupa shepu...nyuma chura mambo yetu mwana wa Sanura... mwenzako mimi I love you...
Umeniteka medula... niko fyetu...
Akili haina ndala iko peku...

🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎵🎵🎵🎵🎵🎵🎼🎼🎼🎼🎼🎼🎼🎼🎼🎼🎼🎧🎧🎧🎧🎧🎧🎧🎧
Ngoja nisikilize mashair ila sio sauti sauti kama hamolapa 😂😂
 
Ntakuzawadia vyote..
Pochi zenye thamani vyote...
Nawe uende kuwaringia vyote...
Utembee kwa uskani vyote...
Na vioo uwafungie vyote...

Mungu kakupa sura, kakupa shepu...nyuma chura mambo yetu mwana wa Sanura... mwenzako mimi I love you...
Umeniteka medula... niko fyetu...
Akili haina ndala iko peku...

🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎵🎵🎵🎵🎵🎵🎼🎼🎼🎼🎼🎼🎼🎼🎼🎼🎼🎧🎧🎧🎧🎧🎧🎧🎧
Una nini lakini Bantu Lady
 
Yaani kwa sauti kasema deka deka... namimi najiachia...
Kanipa shuruti la kumteka, teka silaha ...

Mbezi Kimara hunipeleka peleka mpaka mwisho hashuki... hashuki
Kiungo imara hunipenyeka penyeka
Kwa manguvu mashuti..

Kaniweka darasani, kunifundisha vizuri....
Raha kupendwa raha, jamani raha...
Naona raha.... ❤
 
Yaani kwa sauti kasema deka deka... namimi najiachia...
Kanipa shuruti la kumteka, teka silaha ...

Mbezi Kimara hunipeleka peleka mpaka mwisho hashuki... hashuki
Kiungo imara hunipenyeka penyeka
Kwa manguvu mashuti..

Kaniweka darasani, kunifundisha vizuri....
Raha kupendwa raha, jamani raha...
Naona raha.... ❤
Uhu wimbinsasa umeimba vizuriiiiiii njoo nikutunze
 
Back
Top Bottom