Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 9,869
- 32,710
Bichwa lako, nalala miye...Yule na mtag ili watu wasijue nimejificha kwak si unajua tena watasema unanilea japo ni kweli 😂😂
02:15
Bichwa lako, nalala miye...Yule na mtag ili watu wasijue nimejificha kwak si unajua tena watasema unanilea japo ni kweli 😂😂
Duh ,Sasa Apo ungeangalia pilau si ungekuta zimekataHawa jamaa wanakula bando sio kawaida yaan km wanajihamishia Sina hata matumizi makubwa, yaan Jana nilikua na MB 200 niliingia YouTube nikaangalia makala Ina dakika 9 bila shida na MB zilibakia nikaongeza, Leo nmenunua MB 850 jamaa wamepita na MB 550 zimebaki 300 hii haki kweli hii? Sijaingia popote zaidi ya JF hivi kweli JF unaweza kula MB 550 kwa masaa yasiyozidi 7?
Umasikini kitu kibaya sana ona wewe unalalamika bando limeliwa la mb tena sio gb lakini kuna watu humu ana gb45 za miezi miwili tafuta pesa ndugu yanguHawa jamaa wanakula bando sio kawaida yaan km wanajihamishia Sina hata matumizi makubwa, yaan Jana nilikua na MB 200 niliingia YouTube nikaangalia makala Ina dakika 9 bila shida na MB zilibakia nikaongeza, Leo nmenunua MB 850 jamaa wamepita na MB 550 zimebaki 300 hii haki kweli hii? Sijaingia popote zaidi ya JF hivi kweli JF unaweza kula MB 550 kwa masaa yasiyozidi 7?
Kinywaji baridi tu nakunywaSana af mgeni tulisahau kukuuliza unakunywa kinywaji gani?
Mh sasa ukilala boss Mjep bado hajalala uoni atachukuaa mgodi auta temaBichwa lako, nalala miye...
02:15
Acha uzuzu aisee sijalalamika nilikua nafanya research ya kuwabaini watu wenye visokorokwinyo km wewe na nimekukamataUmasikini kitu kibaya sana ona wewe unalalamika bando limeliwa la mb tena sio gb lakini kuna watu humu ana gb45 za miezi miwili tafuta pesa ndugu yangu
Kipi sasa au juic ya malimau na ndimu ilio changanywa na chumvi nyingiiiiKinywaji baridi tu nakunywa
Gb 45 Mimi Hazifiki wiki tatu dahUmasikini kitu kibaya sana ona wewe unalalamika bando limeliwa la mb tena sio gb lakini kuna watu humu ana gb45 za miezi miwili tafuta pesa ndugu yangu
Hawa jamaa sio emu nipe mkeka (menu) wa Voda km unatumia Voda nione upoje,Duh ,Sasa Apo ungeangalia pilau si ungekuta zimekata
John mtembezi uyo ,mwambie akumiminie glass moja ya John walkerKinywaji baridi tu nakunywa
😂😂😂 embu vuta picha mimi masikini naona kawaida sana kuitwa mchawi mkuu nasemaje nasemaje lala au nenda utafute pesaAcha uzuzu aisee sijalalamika nilikua nafanya research ya kuwabaini watu wenye visokorokwinyo km wewe na nimekukamata
Una roho ya kichawi mkuu
02:17
Nikinywa huwa natukana hadi viongozi wa kirohoJohn mtembezi uyo ,mwambie akumiminie glass moja ya John walker
Unatumiaje mzee unakesha insta au ndio wasp yako ina watu 10000 kwamba ukifungua wasp zite gb nne zinekataGb 45 Mimi Hazifiki wiki tatu dah
Kuona mkeka wa voda sio solution ,maana mitandao karibu yote Sasa ,wanafuata tcra,ishu ni kuisha kwa haraka,halotel wanazingua,wananyonya mnoHawa jamaa sio emu nipe mkeka (menu) wa Voda km unatumia Voda nione upoje,
Sina mda wa kulala 24/7 nipo ON sizimi hata sekunde mpaka wameanza kunipigia ule wimbo "Siku hizi wachawi sio wazee" ameimba wozhu sijui ndio yeye hakuna kulaza damu pesa zipo tu😂😂😂 embu vuta picha mimi masikini naona kawaida sana kuitwa mchawi mkuu nasemaje nasemaje lala au nenda utafute pesa
Duh nikuimbie uhu wimbo boss wanguSina mda wa kulala 24/7 nipo ON sizimi hata sekunde mpaka wameanza kunipigia ule wimbo "Siku hizi wachawi sio wazee" ameimba wozhu sijui ndio yeye hakuna kulaza damu pesa zipo tu