Mkuu ukipiga hiyo kitu lindo halitakua salama
Mkuu ukipiga hiyo kitu lindo halitakua salama
Whatsup Nina group 200,telegram 50.bado uko kwingine kwingineUnatumiaje mzee unakesha insta au ndio wasp yako ina watu 10000 kwamba ukifungua wasp zite gb nne zinekata
Imekula kwako my kaka aka Big Boss Mjep kishanitumia pm sahau Johnnie Walker na ukalale huko 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mh sasa ukilala boss Mjep bado hajalala uoni atachukuaa mgodi auta tema
Halotel jau dadeq zao hapo mwanzo hawakua hivi hawa mbwa JK emu waambie Basi wasitufanyie hivyo najua unapita humu unasoma commentKuona mkeka wa voda sio solution ,maana mitandao karibu yote Sasa ,wanafuata tcra,ishu ni kuisha kwa haraka,halotel wanazingua,wananyonya mno
Boss una wasiwasi na mimi wewe tupe tu sito kuangusha kabisa hapa tutakunywa af lindo litakuwa byeMkuu ukipiga hiyo kitu lindo halitakua salama
Hahaha basi huwa wanakuzingua hauwaambii,pombe huwa inasema ukweliNikinywa huwa natukana hadi viongozi wa kiroho
Khaaa ivi inakuwaje mimi sijapewa Mjep boss wangu mbona umenichinjia baharini na mimi sijakukosea kitu boss 😭😭😭 nihurumieImekula kwako my kaka aka Big Boss Mjep kishanitumia pm sahau Johnnie Walker na ukalale huko 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jiimbie mwenyewe kwani we hupendi kujiimbiaDuh nikuimbie uhu wimbo boss wangu
Wakubwa wanafaidiImekula kwako my kaka aka Big Boss Mjep kishanitumia pm sahau Johnnie Walker na ukalale huko 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Dah usije ukalia kaka yangu mmemfilisi kibanda cha vocha waone kwanza. Sijatumiwa wala nini, nilitaka kukurusha roho, na ukarushika... mwepesi sana wewe. Nitakutumia mimi sawa usilie mtoto mbaya eehKhaaa ivi inakuwaje mimi sijapewa Mjep boss wangu mbona umenichinjia baharini na mimi sijakukosea kitu boss 😭😭😭 nihurumie
Yaani kama yanguJiimbie mwenyewe kwani we hupendi kujiimbia
02:26
Khaa haya nangojea kipenzi kupata vocha kutoka kwako siku hiyo nitalukaDah usije ukalia kaka yangu mmemfilisi kibanda cha vocha waone kwanza. Sijatumiwa wala nini, nilitaka kukurusha roho, na ukarushika... mwepesi sana wewe. Nitakutumia mimi sawa usilie mtoto mbaya eeh
Unanikandia na wwWakubwa wanafaidi
Kaka njoo unywe mojito katoa boss MjepNikinywa huwa natukana hadi viongozi wa kiroho
Ngoja niigawanyeDah usiku wa manane idumu. Atakaye isambaratisha auwawe ....
Nilikuwepo ✌
Nakupigia debe,unisambazie ata 100 ukipata hiyo vocha,nipate ya kubip tuUnanikandia na ww
Umejiimbia sasa hapo unajisikia vizuri kabisakumbe siku hizi wachawi sio wazee
Usijalinndugu yangu siwez kukusahau wakunyumbaNakupigia debe,unisambazie ata 100 ukipata hiyo vocha,nipate ya kubip tu
Bado nime kosa vibe sina biaUmejiimbia sasa hapo unajisikia vizuri kabisa
02:31