JamiiForums Usiku wa manane
Mtajua nyinyi mlionikubalia Mimi si natumia kiungo changu🤒
Nawasikiaga tu wa aina hii. Kweli wapo bana. Mwanzo ulijua karembo? Au ulijikuta tayari ushaingia na ndiyo ukayajua? Pole ila tunaishi kwa kujifunza kila siku.
 
Nawasikiaga tu wa aina hii. Kweli wapo bana. Mwanzo ulijua karembo? Au ulijikuta tayari ushaingia na ndiyo ukayajua? Pole ila tunaishi kwa kujifunza kila siku.
Sikujua kitu na nikazama balaa,umbali umenisaidia maana ningekuwa dar ningeshatafunwa.....nikashangaa inbox zimeanza kujaa😳🙋
 
Sikujua kitu na nikazama balaa,umbali umenisaidia maana ningekuwa dar ningeshatafunwa.....nikashangaa inbox zimeanza kujaa😳🙋
Shukuru sana Mungu, umbali maana ulivyozama halafu ungemegwa wee ingekuuma sana.
Bora hivi ulizama, itapotea taratibu. Mimi najua hii sisi wanawake, mara nyingi tukipenda tunapenda kweli.
 
Nimecheka hapo Inbox kujaa 😄😄😄😄🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻 nani hao tena?
 
Shukuru sana Mungu, umbali maana ulivyozama halafu ungemegwa wee ingekuuma sana.
Bora hivi ulizama, itapotea taratibu. Mimi najua hii sisi wanawake, mara nyingi tukipenda tunapenda kweli.
Sana,na nilimpenda pamoja na mapungufu yake nilijua atatulia🙄
 
Sana,na nilikupenda pamoja na mapungufu yake nilijua atatulia🙄
Huwa tunawaza hivyo, kuwa huyu anaweza kubadilika.
Niliwahi soma sehemu, walisema mwanaume hubadili tabia, kwa mwanamke anayempenda.

Kwahiyo unaweza kuwa na vigezo vyote, upendo na mapenzi. Mwanaume habadiliki. Anakuja kubadilika kwa mwanamke mmoja anayempenda.
 
Huwa tunawaza hivyo, kuwa huyu anaweza kubadilika.
Niliwahi soma sehemu, walisema mwanaume hubadili tabia, kwa mwanamke anayempenda.

Kwahiyo unaweza kuwa na vigezo vyote, upendo na mapenzi. Mwanaume habadiliki. Anakuja kubadilika kwa mwanamke mmoja anayempenda.
Hakika nililiona hilo...
 
Hakika nililiona hilo...
Mshukuru Mungu, hujui pia amekuepusha na nini. Wakati mwingine huwa tunasononeka, lakini Mungu anakuwa na makisudi yake. Tushukuru kwa kila jambo.

Naimani utapata tu, yule wa moyoni mwako. Na utajishangaa ulikuwa unaumia nini. Mungu ni mwema sana.
 
Mshukuru Mungu, hujui pia amekuepusha na nini. Wakati mwingine huwa tunasononeka, lakini Mungu anakuwa na makisudi yake. Tushukuru kwa kila jambo.

Naimani utapata tu, yule wa moyoni mwako. Na utajishangaa ulikuwa unaumia nini. Mungu ni mwema sana.
Amina ...saivi nimeona nibaki na anayenipenda japo ni ngumu kuwa kwenye same feelings nae
 
Amina ...saivi nimeona nibaki na anayenipenda japo ni ngumu kuwa kwenye same feelings nae
Pia husemwa kwenye mapenzi, akupende yeye si umpende yeye zaidi.
Hii nzuri, kwa upendo wake na mapenzi yake kwako. Utajikuta nawewe unaanza mpenda taratibu.

Mpe muda, mawazo ya mapenzi wekeza kwake. Utampenda tu, kuna wakati hatuoni tunapopendwa, tunaangalia tunapopenda. Inatuumiza.
 
Pia husemwa kwenye mapenzi, akupende yeye si umpende yeye zaidi.
Hii nzuri, kwa upendo wake na mapenzi yake kwako. Utajikuta nawewe unaanza mpenda taratibu.

Mpe muda, mawazo ya mapenzi wekeza kwake. Utampenda tu, kuna wakati hatuoni tunapopendwa, tunaangalia tunapopenda. Inatuumiza.
Amina,hakika Mungu ni mwema....acha nitulie nae
 
Nimepita kumletea sis To yeye Zawadi yake tu.. 😊





C.c Saint Anne

The Pain of Yesterday
You will Feel them No more
(A Heavy Down Pour
Of God’s Favor Today)

There will be
An Increase in Grace
There will be a Favor Overflow
(A Heavy Down Pour
Of God’s Favor Today)
 
Back
Top Bottom