JamiiForums Usiku wa manane
Ankol bado naumwa, ila kwa leo kidogo afadhali. Poor Brain eti ananisubiria hapa. Hajui mwenzake naumwa huku
Ulikuwa ndiyo kwenye harakati za kuiba? Mwizi mkuu Intelligent businessman alikuwa mitaa gani tena?
Pole sana, ongeza kupiga chai dawa aunt, ila uchanganye na asali..

Intelligent businessman wakati mie baiba, kumbe alikuwa kaenda kwa Dahan napo hakumkuta sasa.. akaamua alale getini 😅😅😅. Poor Brain hana huruma huyo 🤣🤣
 
Pole sana, ongeza kupiga chai dawa aunt, ila uchanganye na asali..

Intelligent businessman wakati mie baiba, kumbe alikuwa kaenda kwa Dahan napo hakumkuta sasa.. akaamua alale getini 😅😅😅. Poor Brain hana huruma huyo 🤣🤣
Sawa Ankol nafanya hivyo. Asante sana, maana umeniuguza kwa ushauri wako atii Ankol.
 
Nimepita kumletea sis To yeye Zawadi yake tu.. 😊


View attachment 2553356


C.c Saint Anne

The Pain of Yesterday
You will Feel them No more
(A Heavy Down Pour
Of God’s Favor Today)

There will be
An Increase in Grace
There will be a Favor Overflow
(A Heavy Down Pour
Of God’s Favor Today)
Ila kuna watu ni mafundi sana kwenye worship 🙌
 
Back
Top Bottom