Dr. Mariposa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 4,636
- 15,250
Khe, teeeenaTulale kwani tayari.....bado hatujaafikiana![]()

Khe, teeeenaTulale kwani tayari.....bado hatujaafikiana![]()

Pole jmnBroken heart01:52
Endelea kuchek series'hiyoYaw yaww, jezhiiii
Umeachwa wee kubaliiiiikwakwelii....yan usingizi unapotea tu
Mambo hayooooooo,Kuna watu wamelala kaburini sababu ya kuchonga Mdomo wakauacha mninga wachonge kitanda
Tupo jana na leoMmelala?
Nasikia kujichukulia sheria mkononi kunamaliza nguvuLeo BILA BILA
Nikapige zangu tu sheria mkononi
Usisahau na hot drinkKaribuni daku wazee wa kukesha...!
Usisahau na hot drink
03:44 nipo hapa mida ya wanga
anatupia nyavuni,kisha anatetemaDahan unaitumikia sana ndoa yako. Jamaa kila akijigeuza, anatupia tu 😅😅