Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,268
Vp mvua huko mkuuNimepita hapa hongera bar karibu na chuo cha ustawi,naona wanyama pori
Vp mvua huko mkuuNimepita hapa hongera bar karibu na chuo cha ustawi,naona wanyama pori
mvua?Vp mvua huko mkuu
Yes naona kama mvua huko tena ya radimvua?
we umeionaje na uko mbl? Mie nilipo hakuna mvuaYes naona kama mvua huko tena ya radi
we umeionaje na uko mbl? Mie nilipo hakuna mvua
Hawa ni TMA au?
labda dsehemu nyingine,mie nipo kwa masai hkn lolote,zaidi ya kuvizia mnyama tu
Kwa masai ndio wapi mkuu..labda dsehemu nyingine,mie nipo kwa masai hkn lolote,zaidi ya kuvizia mnyama tu
hahahaha,chimboKwa masai ndio wapi mkuu..
Nilisoma umepita hongera baa pale Ustawi??
Lugha ya vijana siiwezi mkuu😂hahahaha,chimbo
Kama Mayele 😅😅😅anatupia nyavuni,kisha anatetema
Ngoja nikae vizuri cute....nikupe mstoree mzima😜Mambo hayooooooo,
Enh ikawaje?
To yeye hujakaa bado vizuri? 😂😂😂😂😂😂😂Ngoja nikae vizuri cute....nikupe mstoree mzima😜
Macho kodo hapa nasubiria... wambea wote waunguzwe 😅😅😅😅😅😅🤣🤣🤣🤣Jamani 🙌🙌🙌
Jana jioni nikasema ngoja nikamwagilie moyo......bhana bhana.....kilichonikuta☹️😥Macho kodo hapa nasubiria... wambea wote waunguzwe 😅😅😅😅😅😅
Kwenye pishi ukihitaji viungo nipo😂😂😂😂 kabisa mwaka huu mdomo mdomo mwisho. Enhee nipo dear...🤣🤣🤣Bado pishi linapikwa,halijaiva vyema.Watatuliza tu Mdomo.
Ee bhana wee,tuachane na washakunaku.....ngoja nikugee mkanda Fulani about myself
Si nilikuwa nauguza,bibi alikuwa kwenye critical condition....lakini Mungu wa huruma kamwinua tena,.,....sasa Ile furaha si ikataka kuniponza🙄
Kidume anajiweza 7 duh. Kwenye game wote mnajuana? Jambo la kheri hilo, tutachanga mrembo wangu, usijali kabisa. Yetu macho 👀Sawa cute,si unajua Kuna game tulikuwa tunacheza humu for one man with 7 women🤣🤣🤭...mi nimejitoa japo lilikuwa ni game sweet&tough ila nimejiweka Kwa kando nione nani ni the winner Kwa 6 waliobakia ,.....nitakushtua Ili tushiriki mchango wa harusi...kiroho safi😂😉