JamiiForums Usiku wa manane
Uutoe wapi wakati mwili umeshauzoesha lazima ikifika mida fulani uamke
Hata mimi nishakua addicted yaani mpaka saa tisa usiku ndo nahisi usingizi ila nikisema nilale mapema labda saa tano ntagalagala hapo lakini usingizi hauji ng'oo unaamua uamke the ukeshe
 
Amkeni amkeni mnalala mna raha gani? Mmemfikia Mo au Bakhresa haya hakuna kulala, amkeni mchangamshe bongo zenu.
Amkeni hata mpige kelele vitandani mwenu...
Njoo nikupe utabiri wako 2023 kuna kitu bwana kanionyesha,utapata macha,utaolewa na mwanaume mwenye pesa mfanyabiashara
 
Hata mimi nishakua addicted yaani mpaka saa tisa usiku ndo nahisi usingizi ila nikisema nilale mapema labda saa tano ntagalagala hapo lakini usingizi hauji ng'oo unaamua uamke the ukeshe
Hii kitu ni noma sana ni kama madawa ya kulevya ,mimi hii mida ni lazima nitasikia namna tu nistuke kama sio short call basi tu kitu kimeanguka nikisikie
 
Back
Top Bottom