Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,497
- 96,969
Unaju ndoa ni kama maisha tuThat experience, haiwezi kamwe fanana na ya Iceberg9 au na mtu yoyote so matatizo hayafanani mkuu, pia tambua hatuwezi kuishi kwa kuwa mtu fulani mbona anaishi hivi,mbona matajiri hawaoi je wewe ni tajiri ili uishi kama wao,huenda wanasababu zao hata ukiisikikiza ukashangaa ,,
Jaribuni kupata watu sahihi wa kuwaoa ndoa ni nzuri ukimpata mtu mtulivu wenye malengo na upendo ,usikuvu ,self discipline ,uchaji wa roho,na hawa watu wapo
Ndo ivyo sasa kataa ndoa gang msitunyanyaseMarriage is not for everyone
Wanawake wamekuwa matapeli bro kumpta atakae kupnda kiukweli n ngumu unaweza ishi nae kumbe ni muke ya mutuChangamoto kama zipi boss
Saivi watu wanafanya harusi na sio ndoaNdo ivyo sasa kataa ndoa gang msitunyanyase
Noma sanaWanawake wamekuwa matapeli bro kumpta atakae kupnda kiukweli n ngumu unaweza ishi nae kumbe ni muke ya mutu

Hasta la vistaWakuu acha nipumzikee asta la Vista everyone, I mean no malice to anyoneView attachment 2530121
Sawa mkuu iceberg9 sipingi ila pia watu hao ni focused kweli kweli kwenye fani zao yaani haswa hata putin aliwahi hojiwa akasema mkewe alimuacha kipindi hicho kisa jamaa alikuwa mtu wa kaxi sanaThat experience, haiwezi kamwe fanana na ya Iceberg9 au na mtu yoyote so matatizo hayafanani mkuu, pia tambua hatuwezi kuishi kwa kuwa mtu fulani mbona anaishi hivi,mbona matajiri hawaoi je wewe ni tajiri ili uishi kama wao,huenda wanasababu zao hata ukiisikikiza ukashangaa ,,
Jaribuni kupata watu sahihi wa kuwaoa ndoa ni nzuri ukimpata mtu mtulivu wenye malengo na upendo ,usikuvu ,self discipline ,uchaji wa roho,na hawa watu wapo


Unaju ndoa ni kama maisha tu
Watu wanaigana wakati kila mtu amezaliwa na swali lake
Natamani wengi wangeelewa hivi ,tuanze hapo kuona katika mtazamo chanya,upo sahihi kabisaShida si mnachagua wapenda starehe maslay queen na hela zikiisha wanawakimbia au wanatoka njee ,mindset tuzibadilishe na tuongeze umakini kwenye swala la ndoa sio kila mtu anafaa kuoa kuna mdau amesema hapo juuWanawake wamekuwa matapeli bro kumpta atakae kupnda kiukweli n ngumu unaweza ishi nae kumbe ni muke ya mutu
Nimehudhuria nyingi sana last year kama 9 hivi sema 79% ni vilio after 8 mthsSaivi watu wanafanya harusi na sio ndoa






Kwaio harusi 9 ndo nyingi? We nae😂😂😂Nimehudhuria nyingi sana last year kama 9 hivi sema 79% ni vilio after 8 mths
Sema uzuri nabebaga ma carton ya ma juice ya ceres yale kama 6 hivi hivyo wananisaidiaga kusave hela yangu ya kununua juice daily
I'm not jocking all
Tunahitaji reforms kwa kweli hali ni teteNimehudhuria nyingi sana last year kama 9 hivi sema 79% ni vilio after 8 mths
Sema uzuri nabebaga ma carton ya ma juice ya ceres yale kama 6 hivi hivyo wananisaidiaga kusave hela yangu ya kununua juice daily
I'm not jocking all

Sawa mkuu iceberg9 sipingi ila pia watu hao ni focused kweli kweli kwenye fani zao yaani haswa hata putin aliwahi hojiwa akasema mkewe alimuacha kipindi hicho kisa jamaa alikuwa mtu wa kaxi sana
Hivyo kwa mwanaume ukikataa ndoa kama mimi inabidi uwe workeworm upige kaxi kwelikweli mpaka mawazo machafu ya uzinzi yakutoke
Na usaidie jamiii yako
Nami nafuata nyayo tuuuuu mkuuu![]()
![]()
Daah ni kweLi sema sio kama hakuna mtu amby hapend kuoa mkuuShida si mnachagua wapenda starehe maslay queen na hela zikiisha wanawakimbia au wanatoka njee ,mindset tuzibadilishe na tuongeze umakini kwenye swala la ndoa sio kila mtu anafaa kuoa kuna mdau amesema hapo juu
Sawa mkuu iceberg9 sipingi ila pia watu hao ni focused kweli kweli kwenye fani zao yaani haswa hata putin aliwahi hojiwa akasema mkewe alimuacha kipindi hicho kisa jamaa alikuwa mtu wa kaxi sana
Hivyo kwa mwanaume ukikataa ndoa kama mimi inabidi uwe workeworm upige kaxi kwelikweli mpaka mawazo machafu ya uzinzi yakutoke
Na usaidie jamiii yako
Nami nafuata nyayo tuuuuu mkuuu![]()
![]()




Yeah man inabidi tukubaliane na uhalisia piaNatamani wengi wangeelewa hivi ,tuanze hapo kuona katika mtazamo chanya,upo sahihi kabisa
Kuna za kuhudhuria 9 za kusikia 23Kwaio harusi 9 ndo nyingi? We nae![]()