JamiiForums Usiku wa manane
MOJA KWA MOJA KUTOKA PANDE ZA KINONDONI LA SCARINYO💥💥

KATAA NDOA
1:23
Tumekusikia ewe mwenyeketi wa chama Cha mkono bao na maendeleo ya kujichukulia sheria mkononi.

Dunia ikakutambue kwa matumizi ya sabuni ya unga, lotion na mlenda vuguvugu
Screenshot_20230225-030537_1.jpg
 
Wanaovuta bangi ni genious... Sasa assume taifa zima likawa na ma genious what happen
Kila mtu akiwa genius basi wote tutajiona watu wa kawaida maana kila mtu atakuwa na iq kubwa na kuvumbua vitu vingi na watu watakosoana sana ni sawasawa kila mtu akiwa tajiri nani atatudekia vyoo vyetu ,kutufulia nguo,kutupikia,kuokota uchafu


No way ndo maana bangi inafanya only 17% wanayoitumia kuwa genius the rest ni stupid BB
 
tunakula maisha pamoja ila hatuoi sababu wanawake mmefanya ndoa kama kitega uchumi na mnatumia muda wenu kutuumiza kihisia wanaume na kututapeli
Hiyo kampeni yenu, mnaharibu tu kizazi hiki. Mababu na wazazi wenu walioa na kuolewa. Leo nyie kizazi cha nyoka mnashabikia kitu sicho.

Hayo unayoyasema unakuwa mtu, unamjua toka kwenye urafiki, upenzi, uchumba. Sasa kwenye ndoa mbona mbali sana.

Tungewaelewa kama mngeanzisha kampeni kataa kuhudumia mpaka muwe kwenye ndoa. Ingeleta maana.
 
Hiyo kampeni yenu, mnaharibu tu kizazi hiki. Mababu na wazazi wenu walioa na kuolewa. Leo nyie kizazi cha nyoka mnashabikia kitu sicho.

Hayo unayoyasema unakuwa mtu, unamjua toka kwenye urafiki, upenzi, uchumba. Sasa kwenye ndoa mbona mbali sana.

Tungewaelewa kama mngeanzisha kampeni kataa kuhudumia mpaka muwe kwenye ndoa. Ingeleta maana.
Tukianzisha kataa kuhudumia mpka ndoa utamu mtatupa sasa dqdaaNgu...?🙄
 
Kila mtu akiwa genius basi wote tutajiona watu wa kawaida maana kila mtu atakuwa na iq kubwa na kuvumbua vitu vingi na watu watakosoana sana ni sawasawa kila mtu akiwa tajiri nani atatudekia vyoo vyetu ,kutufulia nguo,kutupikia,kuokota uchafu


No way ndo maana bangi inafanya only 17% wanayoitumia kuwa genius the rest ni stupid BB
Sasa hapo nani atamuongoza mwenzake...

That why inapigwa marufuku kutoka huko juu clear kijana
Leo imetokea bahati mbaya tuu sikufungua madirisha...
 
Hiyo kampeni yenu, mnaharibu tu kizazi hiki. Mababu na wazazi wenu walioa na kuolewa. Leo nyie kizazi cha nyoka mnashabikia kitu sicho.

Hayo unayoyasema unakuwa mtu, unamjua toka kwenye urafiki, upenzi, uchumba. Sasa kwenye ndoa mbona mbali sana.

Tungewaelewa kama mngeanzisha kampeni kataa kuhudumia mpaka muwe kwenye ndoa. Ingeleta maana.
Tukianzisha kataa kuhudumia mpka ndoa utamu mtatupa sasa dqdaaNgu...?🙄
 
Back
Top Bottom