Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 27,583
- 53,325
Pamoja na kuwa hawanaga muda hawa elon musk ana work 17 hrs daily hivyo ana squeeze 7 hrs kwenye (kula,kulala,kuoga,kupiga mswaki, e.t.c) hivyo unakuta no time and energy for pussies [emoji846]
Umenikumbusha theories za management hili ya classic theory kuna theorists anasema kampuni ni kama mashine na wafanyakazi ni sehemu ya mashine ni kazi kazi hakuna kulaza uzalishashi, na moja ya criticism ni ipo very exploitative....kuna watu wanapiga mzigo sisi ukiona jumamos na jumapili unapumzika unafurahi na apo umeajiriwa serikalini huna mitazamo ya kuja kuwa billionaire