kiduku mpapaso
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 1,987
- 4,872
MchoyoTatizo kanacheza na jukwaa baada ya coordination na wenzake uwanjani. Yaani kakipata pass karibu na 18 hakainui macho kutazama mwenzake aliye kwenye position nzuri ili nayeagawe upendo
Simba inahitaji kusukwa upya kimataifa kwa kikosi kile tusingetoboa hata ligi kuu tu hapa bongo bado tia majiHakuna pahala tumewazidi, na Wana tumia akili sio miguvu.
Ungetizama kipindi Cha pili Simba tumekuja na speed wakatukubalia Kwa mda kdgo Kisha wakafunguka na kutuchezea kama hatumo.
Kingine defense yetu Bado.
Inahitaji kuundwa upya😲😲.
💚💛💚💛 wananchiTumeshindaaaaaa 3 mzukaaaaaa
💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚
🍾🥂🍾🥂🍾🥂🍾🥂🍾🥂🍾🥂🍾🥂
Tumetisha leo team mate 💛💚💚💛💚💛 wananchi
01:09
Sana tumetisha mpaka tunawatisha watani 😂Tumetisha leo team mate 💛💚
Usinambie bro Chizi Maarifa hajarudi tu, nilisikia alibadilisha jina la I'd yake01:29 lindoni live
02:22