JamiiForums Usiku wa manane
At least Arsenal alirudisha furaha lakini Simba FC akanipokonya tena. Wacha nipambane lindoni hapa.
Bantu Lady najua wanicheka kichinichini huko ulipo😭
Arsenal tunawasubiria 26/4 tukawapakate vizuri pale etihaf stadium watoto wadogo wacha wajiliwaze kwa hii miezi miwili maana tukishikilia usukani may ndo kwishnei 😹😹
 
Game ya Simba sikuicheki. Shida ilikuwa wapi mpaka tunakula tatu?
Bro achaa, Mpira tumecheza mashambulizi tumefanya lakini waaap. Wale warabu walikuwa watulivu uwanja mzima, wakupata mpira wanaulinda kwa nguvu zote pass zakueleweka na wakifika kwenye 18 hawafanyi makosa Kama ya Simba tuliokosa utulivu
 
Bro achaa, Mpira tumecheza mashambulizi tumefanya lakini waaap. Wale warabu walikuwa watulivu uwanja mzima, wakupata mpira wanaulinda kwa nguvu zote pass zakueleweka na wakifika kwenye 18 hawafanyi makosa Kama ya Simba tuliokosa utulivu
Tatizo lilelile kama la game iliyopita poor finishing. Kocha ana homework hapo kurekebisha hilo tatizo
 
Bro achaa, Mpira tumecheza mashambulizi tumefanya lakini waaap. Wale warabu walikuwa watulivu uwanja mzima, wakupata mpira wanaulinda kwa nguvu zote pass zakueleweka na wakifika kwenye 18 hawafanyi makosa Kama ya Simba tuliokosa utulivu
Uwanja ni wetu lkn tukakosa utulivu, tunacheza Kwa papara utazani tupo ugenini.

Wale jamaa wako vzr, safu zote kianzoa difender hadi forward zao.
 
Back
Top Bottom