JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Maanina maumivi ya jina sio pw kabisa maana linauma kinyama
Pole sana , sijui kinauma kwa namna gani lakini kuna tiba unaweza kutumia japo ngumu ila inasaidia kwa kiasi kikubwa .

Unaweza ukatumia chumvi badala ya dawa ya meno, kwa siku walao 5 litapona kabisa, wewe utakua unaweza dicrophenac kutuliza maumivu tu.
Au kinga mkojo wako asubuhi sana kabla ya kuswaki, weka kwenye kinywa kama maji , zingusha huo mkojo kwenye mdomo kwa uelekeo wa jino linalouma, kwa muda wa dakika moja, kisha kaswaki na chumvi, meza dicrophenac, siku mbili umepona kabisa .
 
Back
Top Bottom