Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,825
- 113,411
Ni Dahan mkuuMsimamizi wa lindo leo ni nani 01:25
Ni Dahan mkuuMsimamizi wa lindo leo ni nani 01:25
Achaguliwe kwa kweli, adili na nidhamu! Naona inashuka kwa kiasi fulani.Msimamizi wa lindo leo ni nani 01:25
Karbu upatie mkuu.Cha maharage au nyama mkuu
Niko MTOBOZI 🤣🤣Nahitaji msaidizi... Maana sio poa😂😂😂
😂mbona usiku mfupi huuNahitaji msaidizi... Maana sio poa😂😂😂
Tuko pamoja.. 😂😂😂mbona usiku mfupi huu
Mpaka kieleweke 01:47Tuko pamoja.. [emoji23][emoji23]
I think ulipata virutubisho vyote.Karbu upatie mkuu.
Top layer ni Ile layer ya juu hasa ukishaunga maharage ukayaacha Kwa mda flan hua Kuna layer flan hv inajitengeneza juu pale 😛😛 inakua kama Coat flan hivi , ooh nadhani umeelew.
Sasa Ile layer ikiwa kwenye sufuria kubwa la watu kama mia2 hv hua inakua kubwa na nzito ilojaa ungaunga na mafuta hv na hii ilikua deal Sana kuipata bila top layer Yale maharage ya chini yaan bottom hua ni maji hovyo ko had uwe na peanut mkuu .
Kwangu niliipata sana Toplayer ko mlo wngu at least ulkua delicious 🤣🤣
Karbu upatie mkuu.
Top layer ni Ile layer ya juu hasa ukishaunga maharage ukayaacha Kwa mda flan hua Kuna layer flan hv inajitengeneza juu pale [emoji14][emoji14] inakua kama Coat flan hivi , ooh nadhani umeelew.
Sasa Ile layer ikiwa kwenye sufuria kubwa la watu kama mia2 hv hua inakua kubwa na nzito ilojaa ungaunga na mafuta hv na hii ilikua deal Sana kuipata bila top layer Yale maharage ya chini yaan bottom hua ni maji hovyo ko had uwe na peanut mkuu .
Kwangu niliipata sana Toplayer ko mlo wngu at least ulkua delicious [emoji1787][emoji1787]
Pole bro maumivu ya jino ni noma, bila shaka leo utakuwa mlinzi Mkuu 02:14Maanina maumivi ya jina sio pw kabisa maana linauma kinyama