JamiiForums Usiku wa manane
Usiku
IMG-20220223-WA0029.jpg
 
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.

Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11 asubuhi. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua KUFANYA IBADA Tuuuu!
Yani hujakosea, wanasema ukiona unakosa usingizi usiku basi ni Mungu anataka kuongea na wewe kwahiyo ni vyema kufanya ibada
 
12:14am tue march 😊, sku mpyaaaa mimi mpyaaa. Kila sku nakuwaga mpyaaaa
 
Nisaidie kati ya hawa hapa ni yupi aliuingiza uzi wangu humu.

Nataka nikutane na boss wao anifidie
Screenshot_20220202-104322.jpg
 
Back
Top Bottom