Zimba XXV
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 1,786
- 4,126
Aaa pole sana mkulungwa umenyimwa unyumba nini 😃Leo nalala mapema nimevurugwa sana kuna wakina mama wakatili sana
Aaa pole sana mkulungwa umenyimwa unyumba nini 😃Leo nalala mapema nimevurugwa sana kuna wakina mama wakatili sana
Hujaenda Ukraine ?Mkiona kimya hadi mwezi ujao jueni nimelala 4 4 4 fofofo
Kavuruga bajeti?Leo nalala mapema nimevurugwa sana kuna wakina mama wakatili sana
stori ndefu sana na usiku utakuw mrefu ila wachaga saluti kwenu mnathamini pesa kuliko utu na damuAaa pole sana mkulungwa umenyimwa unyumba nini 😃
acha tu mama k kanitumia sms jioni bosi wake anamshauri atoe mimba yangu yaaani basi tu ila wachaga? 🙌Kavuruga bajeti?
Niko juuHii jumapili ya kuchoka sana.
Just tell mida hii uko mitaa ipi
Sasa Bosi wake kumshauri atoe mimba umetuchanganya wachaga wote ndugu yangu?? Kabila limeingia vipi hapo?acha tu mama k kanitumia sms jioni bosi wake anamshauri atoe mimba yangu yaaani basi tu ila wachaga?![]()
Aaa mkulungwa kwetu kivipi tena 😃😃 Mbona unaniweka upande wa mashemejistori ndefu sana na usiku utakuw mrefu ila wachaga saluti kwenu mnathamini pesa kuliko utu na damu
😄hawa hapaLeo nalala mapema nimevurugwa sana kuna wakina mama wakatili sana
Hii jumapili ya kuchoka sana.
Just tell mida hii uko mitaa ipi
Komaa nayo tu kiongoz.., me mwenyw npo nachek series ya kichina hapa nitaelewa ikifika episode ya mwishoNaangalia film ya kiiran ambayo imetafsiriwa kiurdu,yaani sielewi kitu.
Nalog off
mashirima wa watu yuko anacheza dumbwihawa hapa View attachment 2133352
Mtajua wenyeweSasa Bosi wake kumshauri atoe mimba umetuchanganya wachaga wote ndugu yangu?? Kabila limeingia vipi hapo?
Ndio niko Congo on foot 🚶♂️Hujaenda Ukraine ?
nipo hapa.. hapa utaomba poo mwenywe... lete battleHakuna mkeshaji humu, nyote ni walalavi.