JamiiForums Usiku wa manane
Hi

Naomba nitoe shukrani zangu za dhati kwa wana lindo wenzangu tulioshirikiana nao vizuri katika kipindi kifupi nilichopitia..kuanzia kumuuguza Mama mpaka tarehe 16 mwezi huu alipoiaga dunia.

Ahsanteni kwa maombi yenu..Mungu awabariki na kuwazidishia.

Mama ameumaliza mwendo salama.

🙏🙏
Pole sana ndugu yetu.

Wote sisi mavumbi tutarudi.

Heri waumalizao mwendo salama.
 
Back
Top Bottom