JamiiForums Usiku wa manane
Kwa sasa hali ni shwari upepo wenye vurugu kwa sasa hamna ni mvua imetulia kwa madoido yote inanyesha.

Mvua kama hizi huwa zinaweza nyesha siku nzima kwa huu utulivu.
Wakuu mlipo hali ikoje
Kwetu umepita upepo mkali Sana na vimulimuli vya radi nimeamka baada kusikia vitu vikianguka na kupelekwa na upepo baada ya kuchungulia nje nimeogopa kuona mti uliopo nje ya nyuma ukiyumbishwa Sana kiasi ya kunitia hofu ikabidi nikae attention hata Kama ukiangukia nyumba niweze kujiwahi umeme ukakatika na mvua ikaanza kidogo kidogo uzuri upepo mkali haukudumu inaoendelea mvua mpaka wakati huu hilo balaa limeanza saa sita na robo hivi

Wadau nyie mko wapi na hali ikoje huko?
 
giphy.gif
 
Back
Top Bottom