Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,357
- 100,374
Basi sawa
Kichwa cha mwendawazimu kimeona mwezi.00:24 Hrs HONGERA TANZANIA KUPATA POINTI 3 ZA CHAN DHIDI YA NAMIBIA
Pole sana sanaHi
Naomba nitoe shukrani zangu za dhati kwa wana lindo wenzangu tulioshirikiana nao vizuri katika kipindi kifupi nilichopitia..kuanzia kumuuguza Mama mpaka tarehe 16 mwezi huu alipoiaga dunia.
Ahsanteni kwa maombi yenu..Mungu awabariki na kuwazidishia.
Mama ameumaliza mwendo salama.
🙏🙏
Poleni sana dear! Apumzike kwa amani Mama!😪😪Hi
Naomba nitoe shukrani zangu za dhati kwa wana lindo wenzangu tulioshirikiana nao vizuri katika kipindi kifupi nilichopitia..kuanzia kumuuguza Mama mpaka tarehe 16 mwezi huu alipoiaga dunia.
Ahsanteni kwa maombi yenu..Mungu awabariki na kuwazidishia.
Mama ameumaliza mwendo salama.
🙏🙏
Babe upo?Kichwa cha mwendawazimu kimeona mwezi.
Pole sana mkuu,bwana ametoa na bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe [emoji120][emoji120]Hi
Naomba nitoe shukrani zangu za dhati kwa wana lindo wenzangu tulioshirikiana nao vizuri katika kipindi kifupi nilichopitia..kuanzia kumuuguza Mama mpaka tarehe 16 mwezi huu alipoiaga dunia.
Ahsanteni kwa maombi yenu..Mungu awabariki na kuwazidishia.
Mama ameumaliza mwendo salama.
[emoji120][emoji120]
Unapeperusha bendera vizuri mzee.
Kwa maana hiyo wote hampo lindo sio
Mnakula weekend na
Kichwa kichafu manaacha lindo kwelii[emoji848]
[emoji124][emoji124][emoji124]
Heri ya mwaka mpya wanalindo.......