JamiiForums Usiku wa manane
Jana nasikia haujalala kuhofia maji kuingia ndani
Bwana wee ...nilikesha bure,mwisho wa siku yaliingia ndani godoro hapa lipo nyang'a nyang'a naomba tukeshe wote siku hizi mbili hadi kijigodoro changu kitakapo kauka
 
Bwana wee ...nilikesha bure,mwisho wa siku yaliingia ndani godoro hapa lipo nyang'a nyang'a naomba tukeshe wote siku hizi mbili hadi kijigodoro changu kitakapo kauka

Dah! Pole sana, hatukeshi wote ila tunakua macho huku tunawasiliana kwa simu. Kukesha wote itakua ntihani yakheeeee! Kwani bado unamuogopa bawa?
 
Nilidhani hali ya hewa ya leo wengi wenu mtakuwa kwenye mikumbato style
b46bdf0cd04112999b73d832ba7343e3.jpg
 
Dah! Pole sana, hatukeshi wote ila tunakua macho huku tunawasiliana kwa simu. Kukesha wote itakua ntihani yakheeeee! Kwani bado unamuogopa bawa?
Basi sawa ngoja vidole vyetu vizungumze huku macho yakishuhudia;pole kwa midomo na masikio maana havina nafasi hapa.

Mond keshasema bawa ni zilipendwa kwahiyo siogopi tena,Nleterewa Nganengo alinitisha bure
 
But nilichogundua watu wengi hawaamini yaliyowakuta wenzao, nimeongea ukweli mtupu lakini bado watu hawaamini, Ok
Mie nilikuwa nacheka unavyopangua maswali ya wadau polite and clear ahahahaaaaaa, hata hivyo mie huwa niponipo tuu chochote nikisikiacho huwa nachukulia kama story tuu nikiweza nacheka nikiweza nasikitika huwa sitakagi kujua kama ni uongo au ukweli
 
Mie nilikuwa nacheka unavyopangua maswali ya wadau polite and clear ahahahaaaaaa, hata hivyo mie huwa niponipo tuu chochote nikisikiacho huwa nachukulia kama story tuu nikiweza nacheka nikiweza nasikitika huwa sitakagi kujua kama ni uongo au ukweli
Ok, lakini hujanijibu swali langu, au nije PM
 
Basi sawa ngoja vidole vyetu vizungumze huku macho yakishuhudia;pole kwa midomo na masikio maana havina nafasi hapa.

Mond keshasema bawa ni zilipendwa kwahiyo siogopi tena,Nleterewa Nganengo alinitisha bure

Naamini leo hakuna hofu ya mvua tena
 
Back
Top Bottom