The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,318
- 46,060
Aisee kwa kelele za hawa vyura,hata tembo hawezi kunywa maji nakuambia, maana zimezidi
Kwa sababu uko macho, wengine wamelala totoro
Aisee kwa kelele za hawa vyura,hata tembo hawezi kunywa maji nakuambia, maana zimezidi
Karibu sana! Unamaliza lindo saa ngapi?Niko lindoni
Tunakupenda....tafadhali usithubutu kwenda huko,hutarudi hapa....utapotelea huko oooh!Basi mie naenda mwenyewe huko PM..nataka tu japo nikapaone panafananaje?

Mtaa mzima hatujalala nakuambia.....majirani zangu nawasikia wanavyolalamikia hizi kelele za vyuraKwa sababu uko macho, wengine wamelala totoro
Daah poleni sana aiseehMtaa mzima hatujalala nakuambia.....majirani zangu nawasikia wanavyolalamikia hizi kelele za vyura
Usingizi sio maji, ni vitu viwili tofauti![]()
![]()
![]()
yaani ni shida! Nimekaa nikafikiria hivi wahenga walivyosema kelele za chura hazimkatazi tembo kunywa maji walitafakari sawasawa kweli? Mbona mimi zinaninyima usingizi
![]()
![]()
Mefundishwa na mwalimu wako![]()
Mwalimu wangu nimemhamu kweli

Mwalimu wako anahali mbaya sana aiseeh, embu mtafute umpe pole![]()
![]()
Mwalimu wangu nimemhamu kweli
Umemficha wapi? Maana mara ya mwisho alinambia anakuja kwako umfunze kiinglish....
Kumbe kafika na kukufunza uchochezi tena?![]()
![]()
Mwalimu wako anahali mbaya sana aiseeh, embu mtafute umpe pole
Amekuwaje tena jamani?Lala unono mpenziGuys love you all, naomba niwakimbie
Kesheni salama

Una wapenzi wangapi?Lala unono mpenzi![]()
![]()