JamiiForums Usiku wa manane
Wanasema usingizi ni noma na kweli mi nimeamini, maana kuna siku nililala kwenye maji, muda wa usiku nyumbaji nilosaau kufunga bomba, then nikalala sebuleni kwangu kwenye zulia, ile naamka asubuhi maji yamejaa ndani mote
 
Back
Top Bottom