JamiiForums Usiku wa manane
Kuomba Mungu ni jambo la muhimu sana wakati wote hasa zaidi kipindi hili cha COVID-19. Kusafiri kumekuwa na changamoto kubwa sana. Naamini Mungu yu pamoja nami na atatunifikisha salama
Vaa barakoa, huko ugenini watu wanakufa kama kuku, tofauti na TZ, chukua tahadhari
 
Screenshot_20201215-045637.png
He he! 😆 alooo
 
Eti wametupangia kucheza na A. Madrid UCL. Badala uisikitikie team yako imepewa team ngumu we unaisikitia Arsenal? Unachekesha
Atletico mbona watakaa vzuri tu,
AF katka timu zilizokuwa zmebaki hakuna timu ambayo ilikuwa rahisi me naona n angalau hata hao Atletico
Anachoniumiza Arsenal dada yangu Depal ameondoka na pesa ambayo nngekula xmass na mwaka mpya na chenji ingebaki😥
540k kasepa Nayo😥🚶🚶🚶
 
Atletico mbona watakaa vzuri tu,
AF katka timu zilizokuwa zmebaki hakuna timu ambayo ilikuwa rahisi me naona n angalau hata hao Atletico
Anachoniumiza Arsenal dada yangu @ ameondoka na pesa ambayo nngekula xmass na mwaka mpya na chenji ingebaki😥
540k kasepa NATO😥🚶🚶🚶
Ulibet? Safi sana.
 
Back
Top Bottom