JamiiForums Usiku wa manane
Eti wametupangia kucheza na A. Madrid UCL. Badala uisikitikie team yako imepewa team ngumu we unaisikitia Arsenal? Unachekesha
Hivi matunda yanatoa msongo wa mawazo nilikula mchana ila naona bado mawazo yapo pale pale
IMG-20201207-WA0012.jpg
 
Ahsante sana chief, vipi safarini usiache kuomba Mungu akupe afya ba usalama, ufike uendako pasipo mushkeli,
Kuomba Mungu ni jambo la muhimu sana wakati wote hasa zaidi kipindi hili cha COVID-19. Kusafiri kumekuwa na changamoto kubwa sana. Naamini Mungu yu pamoja nami na atatunifikisha salama
 
Fruits zimekaa mkao, matunda sina uhakika. Kubaliana na hali unayoipitia, usiifikirie sana hata kama inaumiza kupita maelezo. Pretend like nothing happened then time will heal yo!
Mimi jambo likinitokea moyo huwa unauma we acha tu, lakini nashukuru nimeanza kupata relief , muda sio mrefu nitaamka kwa amani
 
Itabidi nijifunze toka kwako, mimi napenda mpira ila sio ule wa mahaba ya kutoka home kwenda kuangalia na mashabiki wengine bar,
Kuna games na games zinazonipeleka cool bar, nyingine nafatilia tu live score. Bar nazoingia isiwe na makelele sanaa na pia isiwe na watu wengi.
 
Back
Top Bottom