Director Kenny
JF-Expert Member
- Jan 11, 2020
- 347
- 851
0005
Aah wapi mm nimeingia saaOk mda huo shift yangu ilikua haijaanza, alikuwepo huyu Super Villain njoo ujibie huku mkuu
Nimekuwa mvivu nalala sana lakini mwili bado sipati 😢Siku hizi unakimbia mapem sana buddy
Duh! Unataka upate mwili gani tena? Uwe chibonge [emoji28][emoji28][emoji28]Nimekuwa mvivu nalala sana lakini mwili bado sipati [emoji22]
Nivuke hata kilo 60 basi 😭😭Duh! Unataka upate mwili gani tena? Uwe chibonge [emoji28][emoji28][emoji28]
Una balaa ww. Wenzako tunataka kupungua wewe unataka unene buddy? [emoji1][emoji1]Nivuke hata kilo 60 basi [emoji24][emoji24]
Duh, ulilala for 2 hrs😳😳😂😂 Nililala saa Saba nikaamka saa Tisa..saa kumi nilikuwa kwenye gari naelekea sehemu😊
Yeah nimecheza sana miaka yote ya O n A level. Wadhani ningetengeneza interest juu ya huu mchezo bila kuwa mchezaji.? Nilikuwa kwenye timu ya vijana Savio pale Don Bosco Upanga
Yes dear..ila nilivyorudi mchana niliukurunza haswaaDuh, ulilala for 2 hrs😳😳
Kwema mkabisa..🧚♀️🧚♀️🥂🥂🥂Kwema humu??