JamiiForums Usiku wa manane
Wazee kinachofanya mtu uwashwe ni nn pale mbu akishakung'ata hakuna Dr humu sisi wa kwetu wa familia saiz kashalala nikimuamsha nimuulize atanitukana sana 😂😂😂
 
Yeah nimecheza sana miaka yote ya O n A level. Wadhani ningetengeneza interest juu ya huu mchezo bila kuwa mchezaji.? Nilikuwa kwenye timu ya vijana Savio pale Don Bosco Upanga

Huyu ni nani

1607358919081.png
 
Back
Top Bottom