Director Kenny
JF-Expert Member
- Jan 11, 2020
- 347
- 849
0005
Aah wapi mm nimeingia saaOk mda huo shift yangu ilikua haijaanza, alikuwepo huyu Super Villain njoo ujibie huku mkuu
Nimekuwa mvivu nalala sana lakini mwili bado sipati 😢Siku hizi unakimbia mapem sana buddy
Duh! Unataka upate mwili gani tena? Uwe chibongeNimekuwa mvivu nalala sana lakini mwili bado sipati![]()



Nivuke hata kilo 60 basi 😭😭Duh! Unataka upate mwili gani tena? Uwe chibonge![]()
Una balaa ww. Wenzako tunataka kupungua wewe unataka unene buddy?Nivuke hata kilo 60 basi![]()


Duh, ulilala for 2 hrs😳😳😂😂 Nililala saa Saba nikaamka saa Tisa..saa kumi nilikuwa kwenye gari naelekea sehemu😊
Yeah nimecheza sana miaka yote ya O n A level. Wadhani ningetengeneza interest juu ya huu mchezo bila kuwa mchezaji.? Nilikuwa kwenye timu ya vijana Savio pale Don Bosco Upanga
Yes dear..ila nilivyorudi mchana niliukurunza haswaaDuh, ulilala for 2 hrs😳😳
Kwema mkabisa..🧚♀️🧚♀️🥂🥂🥂Kwema humu??