JamiiForums Usiku wa manane
ha ha ha! ko huna shida na sura kwa vile hata mbuzi anayo..
aah huko sikugusia mkuu, maana nlibase katika factor ya shape tu.. sijagusia kuhusu sura,urefu na rangi.. sura awe mzuri na presentable, urefu kiasi(am a tall guy), mweupe au maji ya kunde hivi halafu mwenye haiba ya feminine characters (ma manzi wa chuga hua wanafeli hapa)
 
Back
Top Bottom