Little brain
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,395
- 6,553
usiku mwema Gays ha ha ha.
Anadai mlokole lakini anazijua aina zote za vileomi nishamwambia hivo.




Kama kawa kama dawa0142
Siwaoni , mpo wapi
![]()
mbona mapema mkuuusiku mwema Gays ha ha ha.
hahhaaaa!! sasa mkuu mimi nina subira ntasubiria tu kwanza mpaka ntakapoona inatosha japo kuna watakoenda kula na chumvi, mimi sijali, ntajali ikifika zamu yangu.. ile kitu haina makombo.ha ha ha! Usijali mkuu..muombe mungu ajibu pm yako..na usisahau kuleta ushuhuda..
alipitiwa tu mkuu, tumstahi hahahaaAnadai mlokole lakini anazijua aina zote za vileo![]()
liquid au sio!?mbona mapema mkuu
Or ndo unaelekea TIA![]()
Unaelewa maana ya neno "Gays" kweli?usiku mwema Gays ha ha ha.

MTU wa mbeya huyo atakuwa anaenda usafini kwenye tamasha🚶🚶liquid au sio!?
Kweli buddy nakubalialipitiwa tu mkuu, tumstahi hahahaa
Dooh nadhani typing error tu alitaka kusema "Guys" morning Director!Unaelewa maana ya neno "Gays" kweli?![]()
Morning ilikuwa fine mkuu. Sijui kwako wwDooh nadhani typing error tu alitaka kusema "Guys" morning Director!


Hahaha hatari SanaHii aidii inatokea usiku tu..![]()
