JamiiForums Usiku wa manane
Ndio muda wa kuwa alarted, lolote laweza kutokea; wanga kuja kukuchezea, mwizi kutoboa dirisha na kuchukua kismart phone chako kwenye charge hapo na kusikia sauti za mikoromo wachovu wakiwa hoiii kwa pirikapirika za mchana na ulevi wa jioni
Hapa nasikilizia kwa mbali kuna jamaa anagegeda demu

Nasikia sauti na miguno ya kimahaba na jamaa anapiga tako za fasta fasta halafu anatulia

Nateseka muno
 
Jamaa wanapiga mtungo wako wa tatu hii round ya pili wanapokezana dem kashabugia goli sita now mbili kila mmoja bado tound ya mwisho nafikir kila mtu apige hatrick waha sio watu ni washamba sanaa dah
... Unaweza shangaa huyo anaepigwa mtungo ndie mkeo wa baadae....

Maisha haya jaman...
 
Back
Top Bottom