JamiiForums Usiku wa manane
Dah I can't believe I'm awoke again.. Hivi hiki kitu cha usingiz kukata mida flani ni ugonjwa au ni nini.
Hali hiyo husababishwa na vitu vingi
- Mgandamizo wa mawazo, hofu
- Utumiaji wa dawa/kilevi flani muda mrefu, siku usipotumia usingizi unapaa
- Ratiba ya kulala; ukiuzoesha mwili wako kulala kuanzia mida flani na kuamka muda flani hutii so inawezekana muda huo unaoamka ni mazoea uliyojiwekea bila kujua. Mgano mimi kila ikifika saa tisa usiku lazima nishtuke hata kama nilipata bia mbili tatu. Ubongo hutii vile utakavyo
Mwisho kabisa jambo hili likiwa endelevu husababisha kitu tatizo linaloitwa INSOMNIA
Tiba yake ni wewe mwenyewe kubadirisha ratiba yako ya kulala, au kumuona mtaalamu wa saikolojia kwaswala la hofu na mgandamizo wa mawazo.
Asante
 
Haahahahahaha ndiyo namalizia konyagi famtom.....dooooh! Naona mtengeneza supu anachochea moto muda si mrefu tutapiga supu.....4:51am
 
Asante sana umenisaidia itabidi nimwone doctor maana, situmii madawa wala kilevi, labda ni mgandamizo wa mawazo au hofu
Hali hiyo husababishwa na vitu vingi
- Mgandamizo wa mawazo, hofu
- Utumiaji wa dawa/kilevi flani muda mrefu, siku usipotumia usingizi unapaa
- Ratiba ya kulala; ukiuzoesha mwili wako kulala kuanzia mida flani na kuamka muda flani hutii so inawezekana muda huo unaoamka ni mazoea uliyojiwekea bila kujua. Mgano mimi kila ikifika saa tisa usiku lazima nishtuke hata kama nilipata bia mbili tatu. Ubongo hutii vile utakavyo
Mwisho kabisa jambo hili likiwa endelevu husababisha kitu tatizo linaloitwa INSOMNIA
Tiba yake ni wewe mwenyewe kubadirisha ratiba yako ya kulala, au kumuona mtaalamu wa saikolojia kwaswala la hofu na mgandamizo wa mawazo.
Asante
 
Giza limeshaingia tayari....usiku ndiyo unaingia slow slow like nyimbo za Celine Dion vile.... Waiter changamsha basi nimshushe mikono faster.... kabla sijapiga hizi r&b vitu laini laini a.k.a bluz
 
Asante sana umenisaidia itabidi nimwone doctor maana, situmii madawa wala kilevi, labda ni mgandamizo wa mawazo au hofu

Mtu akishukuru kwa jambo flan najisikia raha sana, ni vema kushukuru .... Kajojo i love u .....
Niko makini sijachangamka bado hata muandiko uko fiti umesimama dede kama naandikia daftari ya mistari mikubwa na midogo vile... Kajojo krbu sana
 
Dah I can't believe I'm awoke again.. Hivi hiki kitu cha usingiz kukata mida flani ni ugonjwa au ni nini.

Pole sana Kajojo.... Tuombe... Kama pepo ushindwe kama ni wenge sepa... binti alale unono aote njozi nzr nzr.... Sema amina! Samahani waiter nilikuwa namfanyia maombi rafiki angu bia yangu niletee niendelee... Sina makuu na mtu!
 
Back
Top Bottom