JamiiForums Usiku wa manane
4 sale
110k
20200918_160020.jpg
 
Wale wakulala mida hii ...tuombe... MUNGU walinde watoto wako dhidi ya vinyamkela, vibwengo, wachawi, wezi na hila zote za shetani walale unono na njozi nzr nzr .... semeni amen! Laleni sasa.... waiter nipe kidosho changu niendelee.... Asante
 
Wale wakulala mida hii ...tuombe... MUNGU walinde watoto wako dhidi ya vinyamkela, vibwengo, wachawi, wezi na hila zote za shetani walale unono na njozi nzr nzr .... semeni amen! Laleni sasa.... waiter nipe kidosho changu niendelee.... Asante
Kidosho bado kinakuburudisha hapo au nawe ushakata kamba?
 
Kidosho bado kinakuburudisha hapo au nawe ushakata kamba?

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nilirudi lindoni busy busy na lindo nimeshakabidhi sasa! Tuna siraha basi siye kama ving'ora tu..... Waiter mwambie wajikoni aniletee supu ya ulimi.... ndimu na pilipili nyingi nipe na ya moto nipate starter kidogo
 
Muda wa wakongwe huu. Ngoja nipitie pande zote kuanzia lango la kusini, kaskazini mpaka mashariki na magaribi kuhakiki usalama wa lindo.

Yaaani usiku pamoja nimepiga mundende ila full kusisimuana huku my kule my unajikuta umetulia ka unang'olewa jino🤣🤣 watu full malove love .... usiku una mengi ... tunavumilia tu
 
Back
Top Bottom