JamiiForums Usiku wa manane
Kuna swali nilikuuliza juzi haukunijibu.
Ulinambia juzi kwamba hukulala kwa Sababu ulikuwa unasoma kitabu fulani,kama ungekuwa unasoma Biblia sidhahi kama ungekuwa haujalala Hadi muda ule;Mimi nilikuuliza kwamba unamaanisha nini!?
sorry st. annie, payback time sio, ila nilikua namanisha mara nyingi sana elimu kuhusu mungu hua inawapa watu kauvivu flani na kuona kwanini unasoma hivi vitu wakati vipo na vitakuwepo, tena unavyoona mungu tayari ushamjua yani lazima usingizi unakuaja bila kipimo, lakini kitabu nilichokua nasoma kilikua kinanifungua mambo mengi ya kidunia ambayo yapo na unayaona na unaweza kuyatumia kufanya maamuzi mawili matatu na hapo ndio usingizi ulishindwa kunifikia kabisa.
 

sorry st. annie, payback time sio, ila nilikua namanisha mara nyingi sana elimu kuhusu mungu hua inawapa watu kauvivu flani na kuona kwanini unasoma hivi vitu wakati vipo na vitakuwepo, tena unavyoona mungu tayari ushamjua yani lazima usingizi unakuaja bila kipimo, lakini kitabu nilichokua nasoma kilikua kinanifungua mambo mengi ya kidunia ambayo yapo na unayaona na unaweza kuyatumia kufanya maamuzi mawili matatu na hapo ndio usingizi ulishindwa kunifikia kabisa.
Oh nimekuelewa rafiki
 
Jibu langu ni simfahamu
Huu uzi ni wa usiku wa manane,ondoka hapa upesi!
IMG_20200820_061854_340.jpg
 
Jibu langu ni simfahamu
ah sawa ngoja nikuambie, wakati ule niliamua kufahamu undani wa st anne, na kujua kwanini unajiita saint anne, je ni sababu somehow unafanana nae kimatendo na tabia, nikaamua kumgoogle st anne nikapata kufahamu jina la joachim ambae ndio alikua mume wa st anne na ndio nikaamua kukuliza unamfahamu joachim, nafikiri jibu la swali nililokuuliza ulishapata.
 

ah sawa ngoja nikuambie, wakati ule niliamua kufahamu undani wa st anne, na kujua kwanini unajiita saint anne, je ni sababu somehow unafanana nae kimatendo na tabia, nikaamua kumgoogle st anne nikapata kufahamu jina la joachim ambae ndio alikua mume wa st anne na ndio nikaamua kukuliza unamfahamu joachim, nafikiri jibu la swali nililokuuliza ulishapata.
Kumbe Kuna mtu anaitwa St Anne??
Nitamtafuta nimsome
Nilikuwa sijui kabisa na hili jina lilinijia tu, kipindi najiunga nikachukua jina langu Anne nikaongezea na saint mbele,Hata sijui niliwaza nini.

Huyo Joachim ni nani na Yuko wapi na anajihusisha na nini?
Huyo St Anne nafanana naye kivipi?
Waweza nielezea kidogo Kama hutajali.
 
Kumbe Kuna mtu anaitwa St Anne??
Nitamtafuta nimsome
Nilikuwa sijui kabisa na hili jina lilinijia tu, kipindi najiunga nikachukua jina langu Anne nikaongezea na saint mbele,Hata sijui niliwaza nini.

Huyo Joachim ni nani na Yuko wapi na anajihusisha na nini?
Huyo St Anne nafanana naye kivipi?
Waweza nielezea kidogo Kama hutajali.

Kwa kuanza tu, st anne ndio alikua mama wa mary( mama wa yesu).
 
Back
Top Bottom