JamiiForums Usiku wa manane
Kama humuamini unaibiwa tu sijawahi kuelewaga kuwa mpenzi huwa yanataka nn maana nishajaribu vyote.
Mapenzi yanataka uchukulie poa kila jambo, usikurupuke na usitake zaidi, wivu usizidi akili, uwe mkarimu, chukulia mambo poa, fanya hivyo utakuja nishukuru
 
Lakini elimu ina umuhimu wake, ni kwa kuwa tunajadili general tu hapa
Inayo umuhimu sikatai hilo na ndio maana tunapata innovator lakini mtu kama Jeff unajua kwahizo hela anaweza nunua hata nchi ikawa yake maana hizo pesa ni nyingi mno.
 
Inayo umuhimu sikatai hilo na ndio maana tunapata innovator lakini mtu kama Jeff unajua kwahizo hela anaweza nunua hata nchi ikawa yake maana hizo pesa ni nyingi mno.
Hii mada mpaka imeniletea usingizi, mada nzito sana haijawahi leta mshindi mezani, kesho na akili zangu timamu sio hizi za usingizi tutajadili
 
Back
Top Bottom