Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,059
Jibu ni simple mbona nikiwa napesa nawaajili wote naowahitaji na kila mtu kutokana na professional yake kama SSB anavyofanya [emoji38]Hoja zako ni zipi,
Nakupa mfano sasa kutokana na hoja zangu, bila elimu utajuaje kusoma, pia kujua hii ni pesa kiasi gani, bila elimu utaandaeje bajeti ya pesa unayoaanda kwenye kampuni /mradi/kiwanda,
Bila elimu utajuaje kuaanda document hujui kusoma, kama huna elimu utawezeje kuaanda mahesabu ya mwisho mwa mwaka,
Elimu inatumika kwa kiasi kikubwa,