Nleterewa Nganengo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 5,007
- 11,318
Hata hiyo nusu sijiona, au ni zile bombadia mbili alizonipa baada ya kumkuta akiongea na nanihii..Mi nakwambia hutaweza kuchoche hizo kuni ni mbichi, wajifanya hunielewi ....mahari bado nusu haijalipwa![]()
![]()
funguo yenu hiyo hapo! Naomba msinigasigasi tena!
