JamiiForums Usiku wa manane
Hahaha mara hii ushasahau huyu ni mfilisti aliyejivika ngozi ya Usamaria

Sasa ndugu,kwa kuwa wote wametukimbia, unaonaje tukigawana haka kausingizi kadogo nilikobangaiza ili tulale japo kidogo....katakapoishia ni hapo hapo!

Mimi na wewe ni kitu kimoja haina maana kunyimana
 

Sasa ndugu,kwa kuwa wote wametukimbia, unaonaje tukigawana haka kausingizi kadogo nilikobangaiza ili tulale japo kidogo....katakapoishia ni hapo hapo!

Mimi na wewe ni kitu kimoja haina maana kunyimana
Hahaha hakika hapa ndo nimethibitisha roho yako nzuri iliyotukuka, hakika sisi hatujawahi kuwa vitu viwili
Ngoja nije spidi wasije wakakutishiamo ukabadili mawazo
(Kesho tafadhali ujiandae kuuzima huu moto uliouanzisha )
 
Hahaha hakika hapa ndo nimethibitisha roho yako nzuri iliyotukuka, hakika sisi hatujawahi kuwa vitu viwili
Ngoja nije spidi wasije wakakutishiamo ukabadili mawazo
(Kesho tafadhali ujiandae kuuzima huu moto uliouanzisha )
we njoo! Kesho atakayeugusa huu moto hatabaki salama! We niachie mimi hilo lisikupe shida kabisa
 
Hivi kumbe alibakari ni mvuta sigara mzuri...ujue natafuta mwalimu wa kunifundisha kuvuta sigara, niunganishe naye tafadhali

Naona usingizi unataka kuleta balaa sasa, hebu tukagawane kwanza hilo bando lililobaki lisije likaisha muda wake
Nb:- Imeandikwa na walioitengeneza UVUTAJI WA SIGARA NI HATARI KWA AFYA YAKO
 
we njoo! Kesho atakayeugusa huu moto hatabaki salama! We niachie mimi hilo lisikupe shida kabisa
Ewaaah
Ghafla nimejikuta namkumbuka Craig David na kawimbo kake ka "Unbelievable"
Narudia tena Hakika usiku mnono tumebarikiwa tuna jirani wa dunia na Mtu mwenye roho nzuri wa dunia $NAtaMBA$
 
Back
Top Bottom