JamiiForums Usiku wa manane

Karibu mshiki, hebu sema hata neno la salamu, ujue tokea ulipompelekea ubavu wake aliyeupoteza sijakuona na hatujawasiliana mpaka sasa.
Nimekumisimo kama mafuta ya rays mshiki wangu
kumbe kuna watu walipotezaga ubavu eeeh! Hivi wewe ubavu wako uliupotezeaga wapi? Vipi ulishaupata? Kama bado naomba nije nikusaidie kuutafuta. (Nina roho nzuri mpaka Mungu ananishangaaga)
 
kumbe kuna watu walipotezaga ubavu eeeh! Hivi wewe ubavu wako uliupotezeaga wapi? Vipi ulishaupata? Kama bado naomba nije nikusaidie kuutafuta. (Nina roho nzuri mpaka Mungu ananishangaaga)
Hahaha kwakweli roho yako nzuri huwa naifananisha na ya Yusuph (Baba yake Yesu).
Ndo Niko kwenye harakati za kuisaka (Mungu asaidie usikute imeshaliwa na Mbwa)
 
Kama Mfilisti basi hatusumbui vichwa,kama baunsa wao mkuu aliuwawa kwa jiwe moja tu la manati.....hawo wengine si wakupeperushwa kwa upepo tu

Aah! Kutoka Msamaria hadi Mfilist? Mnaona matokeo yake mwenzenu leo kaondoka kimya kimya hata bila kuaga...au kweli mahari inahusika?
 
Back
Top Bottom