JamiiForums Usiku wa manane
Leo usingizi umeyeyuka poa, ngoja niwaulize swali ni lakijinga wote naombeni majibu yenu wanawake kwa wanaume ungeweza kuwa uzi lakini sitaki acha niweke iwe topic fupi

Swali ni je? Wanawake huwa mnachukuliaje mtu wako wakaribu au rafiki yako akikununulia visodo (Ped) na

Nyie wanaume huwa mnautaratibu huo wakuwanunulia marafiki zenu au wapenzi wenu visodo?

mm ni kawaida yangu kuwanunulia Haya nataka majibu yenu Goddess Iceberg9 yna2 simiss Saint Anne Ncha Kali Depal Drizzle chiqutitta Jurjani amu Juakali jr mtu chake Kataskopos Night Support Stephen Chelu fyddell Equation x Mjep
Guys mko wengi sana siwezi recall majina yote but we are all fam
Akili za usiku maswali ya kiwaki
×××××××××××××NO OFFENSE××××××××××××
Umenikumbusha miaka ya nyuma, ex wangu mmoja kaingia ndani tu akagundua kaanza kuvuja. Asingeweza kuendesha gari akiwa vile. Basi mie nikaamua nijilipue, nikaenda duka la karibu nikanunua brand na specification alizokuwa anataka, muuza duka akaanza kuifunga funga nikamwambia mfuko mmoja unatosha.

Kuanzia wakati huo uwa nnazo za akiba nyumbani incase of emergency.
 
Umenikumbusha miaka ya nyuma, ex wangu mmoja kaingia ndani tu akagundua kaanza kuvuja. Asingeweza kuendesha gari akiwa vile. Basi mie nikaamua nijilipue, nikaenda duka la karibu nikanunua brand na specification alizokuwa anataka, muuza duka akaanza kuifunga funga nikamwambia mfuko mmoja unatosha.

Kuanzia wakati huo uwa nnazo za akiba nyumbani incase of emergency.
We utakua ni ka playboy sana statements yako inakufunga
 
Not Kasie, her....

No time at all, time is now.
Nina kamchumba tayari karembo, kana tako, hips, nyonyoo ndiyo usiseme nzuri round fulani hivi na cute, nywele zake anazibana hivi akisuka anazidi kuwa mzuriii,tayari nina jimbo, sigombe lingine

halafu we Kasie unajua ni mtata sana veve, kwanini umeniuliza nampenda?
 
Nina kamchumba tayari karembo, kana tako, hips, nyonyoo ndiyo usiseme nzuri round fulani hivi na cute, nywele zake anazibana hivi akisuka anazidi kuwa mzuriii,tayari nina jimbo, sigombe lingine

halafu we Kasie unajua ni mtata sana veve, kwanini umeniuliza nampenda?


Naona unazunguka tuu hujajibh swali....

Do you love her??
 
Leo usingizi umeyeyuka poa, ngoja niwaulize swali ni lakijinga wote naombeni majibu yenu wanawake kwa wanaume ungeweza kuwa uzi lakini sitaki acha niweke iwe topic fupi

Swali ni je? Wanawake huwa mnachukuliaje mtu wako wakaribu au rafiki yako akikununulia visodo (Ped) na

Nyie wanaume huwa mnautaratibu huo wakuwanunulia marafiki zenu au wapenzi wenu visodo?

mm ni kawaida yangu kuwanunulia Haya nataka majibu yenu Goddess Iceberg9 yna2 simiss Saint Anne Ncha Kali Depal Drizzle chiqutitta Jurjani amu Juakali jr mtu chake Kataskopos Night Support Stephen Chelu fyddell Equation x Mjep
Guys mko wengi sana siwezi recall majina yote but we are all fam
Akili za usiku maswali ya kiwaki
×××××××××××××NO OFFENSE××××××××××××

Blood nilichelewa kuiona hii. nishawahi kumnunulia mtu pedi ila alikuwa ndugu tu japo pia ni kitambo mnooo almost 10 years back. Sidhani kama ni issue kubwa kwangu mimi
 
Leo usingizi umeyeyuka poa, ngoja niwaulize swali ni lakijinga wote naombeni majibu yenu wanawake kwa wanaume ungeweza kuwa uzi lakini sitaki acha niweke iwe topic fupi

Swali ni je? Wanawake huwa mnachukuliaje mtu wako wakaribu au rafiki yako akikununulia visodo (Ped) na

Nyie wanaume huwa mnautaratibu huo wakuwanunulia marafiki zenu au wapenzi wenu visodo?

mm ni kawaida yangu kuwanunulia Haya nataka majibu yenu Goddess Iceberg9 yna2 simiss Saint Anne Ncha Kali Depal Drizzle chiqutitta Jurjani amu Juakali jr mtu chake Kataskopos Night Support Stephen Chelu fyddell Equation x Mjep
Guys mko wengi sana siwezi recall majina yote but we are all fam
Akili za usiku maswali ya kiwaki
×××××××××××××NO OFFENSE××××××××××××
Ts not big deal kununuliwa pads
Truth be told kama unanunuliwa na mpenzi /mume mi naona fresh tu hakuna tatizo
 
Back
Top Bottom