fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,684
- 24,003
Viwanja unavyoenda nawe hahaha. Usalama upooo mlinzi hodari?Namalizia chupa hapa, niwakute pale tipsy basiView attachment 1511389
Sent using Jamii Forums mobile app
Viwanja unavyoenda nawe hahaha. Usalama upooo mlinzi hodari?Namalizia chupa hapa, niwakute pale tipsy basiView attachment 1511389
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi unajua askari anakuwa active na ulinzi kwa muda gani? Wengine wanatumikia mahusiano yao usiku boy. Mi na wewe tuliomasingle tukomae😂😂Humu naona watu kazi imeiwashinda
Unafikiri huo usiriazi wake unamnufaisha kitu gani.?Nyuki ni inzi alieamua kua serious na mambo yake
Inzi alistuka mapema akaona heri aishi kichokoraa tu.Unafikiri huo usiriazi wake unamnufaisha kitu gani.?
Tunamsifia sisi kwa vile ni wanufaika, anatupatia asali na kuchavusha maua yetu shambani... sisi tunamnufaisha vipi!
Tunamchoma moto ili tuvune asali, hayo ndo malipo yetu kwake... binadamu ni wanafki tunawapenda na kuwasifia wale wenye kutunufaisha tu.
Pita tu humu kuchati mwisho saa 05 asubuhiNapita hiviiiiiiiih
Sawaaaaah mamPita tu humu kuchati mwisho saa 05 asubuhi
Vijana naona wanachezea kazi
Wakiacha ujinga watatengeneza asali.😀😀So hata hawa nzi wakiwa serious watatengeneza asali???

Haya nataka majibu yenu Goddess Iceberg9 yna2 simiss Saint Anne Ncha Kali Depal Drizzle chiqutitta Jurjani amu Juakali jr mtu chake Kataskopos Night Support Stephen Chelu fyddell Equation x Mjep 
maswali ya kiwaki