Drizzle
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 4,857
- 14,747
Super Villain karibu kilingeni. 🚶🏽♂️🚶🏽♂️🚶🏽♂️
DahMkuu mtasababisha bingwa akimbie id pendwa alafu tukakosa mkeshaji

Tunazungumzia ule moto wa stand ya Msamvu, hivi ulifanikiwa kupata taarifa zake 🤓🤓🤓What's pop in??
Avatar kila mwezi naweka mpyaMkuu kila mtu anabreaking point yake,
Hapa tayari kashabadili avatar pendwa.
Unafikiri ni nini kitakachomzuia kuhama id?
Nimemuona ananyapia nyapia kwenye likes kwanza. 🚶🏽♂️🚶🏽♂️Umemuona lkn?! Kashakuja![]()
BaelezeeAvatar kila mwezi naweka mpya
Futi 5 na nchi 10 unawezaje sema mm ni mluguru.Siogopi ila tatizo Waluguru watata sana.
Nimeisha sana juu huko kha! kamati ya zengwe mekaa mnafanya yenu.


Hamna tofauti na wazee wa jangwani nyie.Unapindisha mada ww dahTunazungumzia ule moto wa stand ya Msamvu, hivi ulifanikiwa kupata taarifa zake![]()

HaaahaNimemuona ananyapia nyapia kwenye likes kwanza.![]()
ww uko wapi kwani?Ni saa ngp huko?
21:36Ni saa ngp huko?
farouk karim amesha ipatent hiyo technology. Atanishtaki nikiiweza waziTafadhali eleza namna inapatikana na pia jinsi inafanya hadi mwizi akalala.
Majirani zao wandengereko

Dah mimi nikajua unaficha sura sababu ya aibuAvatar kila mwezi naweka mpya
waluguru wafupi sana alafu kwetu mfupi ni mm tu hakuna anayejua kabila langu humu..Majirani zao wandengereko![]()