JamiiForums Usiku wa manane
Ina " neutralise threat "
Hawa wezi sio watu wazuri, kuna mtu ameibiwa hapa juzi hadi huruma.
Jamaa waliruka ukuta wakakutana na kluger.
Waliiba kila kitu kwenye kluger (taa, ecu viti, matairi) wakabakisha vitu vya mbele, milango na chassis
Tafadhali eleza namna inapatikana na pia jinsi inafanya hadi mwizi akalala.
 
Back
Top Bottom